RAIS wa Marekani, Donald Trump, akiwa takribani wiki moja IKULU ya White House, ameionya Jumuiya ya nchi zinazoinukia kiuchumi ya BRICS, kwamba zikiachana na matumizi ya dola yake, ataziwekea ushuru w ...
WATAALAM wa afya wamebainisha kwamba ugonjwa wa chuki hasi ni moja ya ugonjwa hatari wa kuambukiza na unaoleta madhara na ...
KUCHEZA kimkakati ili kupata ushindi ndio jambo muhimu kwa Simba kuelekea mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya wenyeji Tabora United itakayochezwa leo kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani, Ta ...
MABINGWA watetezi, Yanga wamekaa kileleni baada ya kuwaangamiza Kagera Sugar mabao 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam jana. Ulikuwa ni u ...
TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa mara ya kwanza inaanza uandikishaji wapigakura kwa wafungwa, wanafunzi wa vyuo vya mafunzo na mahabusu kwa kuweka vituo kwenye magereza yote Tanzania Bara na ...
MAJINA ya wafanyabiashara 1,520 watakaorejea katika Soko Kuu la Kariakoo, jijini Dar es Salaam yametajwa na kutakiwa kwenda ...
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewasihi viongozi wa vyama vya siasa kutoingilia utekelezaji wa majukumu ya watendaji wa vituo wakati wa uandikishaji wa wapiga kura. Angalizo hilo limetolewa mjini Kib ...
Baada ya Nipashe kutoa ripoti ya uchunguzi iliyoonesha ni kwa namna gani hali ya rushwa kwa askari wa usalama barabarani ilivyokithiri mkoani Kigoma. Jeshi la polisi mkoani humo limewashikilia askari ...
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewasihi viongozi wa vyama vya siasa kutoingilia utekelezaji wa majukumu ya watendaji ...
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa onyo la dharura kwa wananchi kuhusu hatari inayoweza ...
RAIS Samia Suluhu Hassan amezindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la Mwaka 2023 na kuahidi kuwa serikali ...
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amesema urafiki kati ya CCM na Prosperity Party (PP), Chama tawala cha Ethiopia, ni hatua muhimu katika kuboresha na kuimarisha uhu ...